TUONGEEKISHKAJI: Ngoma za TikTok ni kama wauza simu feki Kariakoo
KAMA hujawahi kufika Bongo, Dar es Salaam, ngoja nikusimulie moja ya staili za wizi na utapeli zinazofanyika katika jiji hili la wajanja ili ikitokea siku umekuja usiwe mgeni kivile.
Kuna staili...